Header AD

Ratiba ya kufuzu AFCON2019, Tanzania yapangwa kundi moja na Uganda

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa ratiba ya makundi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2019 (AFCON2019) michuano ambayo itafanyika nchini Cameroon.

Tanzania imepangwa katika kundi L ikiwa pamoja na Uganda, Lesotho na Cape Verde.

Michuano hii hufanyika kila baada ya miaka miwili ambapo mwaka 2017 inafanyikia nchi Gabon ambapo inatarajiwa kuanza leo  Januari 14, 2017.

Ratiba ya kufuzu AFCON2019, Tanzania yapangwa kundi moja na Uganda Ratiba ya kufuzu AFCON2019, Tanzania yapangwa kundi moja na Uganda Reviewed by Unknown on Januari 14, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads