Header AD

Google ;Kampuni yenye thamani zaidi duniani




Google yatambulika kuwa bidhaa yenye thamani zaidi kulingana na
 shirika la fedha la kufanyia uıkaguzi wa
 thamani ya bidhaa za kimataifa .

Kwa mujibu wa ripoti waliotoa ni kuwa Google imeongezeka thamani kwa asilimia 24 na kuwa na dola 
bilioni 109.5 ikilinganishwa na mwaka jana ambapo ilikuwa na bilioni 88.2 za dola .
Google imeiacha Apple nyuma baada ya kushuka thamani kwa asilimia 27 .
Google imebakia kuwa kampuni ambayo inaendelea kushinda ikilinganishwa na makampuni 
mengine ya kimataifa .
Google ;Kampuni yenye thamani zaidi duniani Google ;Kampuni yenye thamani zaidi duniani Reviewed by Unknown on Februari 05, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads