Header AD

NIKOHURU BLOG#Chris Brown agoma kusimama wakati wa kuimba wimbo wa taifa.


Chris Brown ameshangaza wengi tena baada ya kuamua kuka chini wakati unaimbwa wimbo wa taifa la Marekani kwenye mchezo wa kikapu wa watu maarufu.Breezy alifanya hivi pamoja na mastaa wengine kwenye mchezo huo
wa kikapu wa radio ya Power 106 ya mjini Los Angeles Jumapili ya Sept. 11 ikiwa ni miaka 15 toka tukio la kigaidi la 9/11 kwenye majengo ya World Trade Center.
Kabla wimbo haujaimbwa msanii Tank alielezea issue ya kukaa na kusimama wakati wimbo huu unaimbwa “I understand everybody’s exercising their right to stand or sit and exercising their right to freedom and justice,But in the wake of 9/11, please understand the fact that real men, women, and children lost their lives for this very thing that we’re able to stand for today.”
chris-14
Tabia hii ilianzishwa na American Football star Colin Kaepernick wa klabu ya San Francisco 49ers huku yeye akipinga unyanyasaji wa polisi kwa watu weusi.

PATA STORI KIRAHISI ZAIDI KWA KU'SUBSCRIBE E-mail YAKO katika NIKOHURU BLOG
NIKOHURU BLOG#Chris Brown agoma kusimama wakati wa kuimba wimbo wa taifa. NIKOHURU BLOG#Chris Brown agoma kusimama wakati wa kuimba wimbo wa taifa. Reviewed by Unknown on Septemba 13, 2016 Rating: 5

Post AD

Propellerads