Header AD

DROGBA akubali kulipwa Dola laki 1.5 kwa mwezi ili kusaini mkataba na klabu ya Corinthians


Didier Drogba akubali kusaini mkataba wa miezi 12 kuitumikia klabu ya Corinthians ya nchini brazil kwa malipo ya dola za kimarekani laki 1.5 kwa mwezi.

Drogba ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 38 ameweka wazi dhima yake ya kuendelea na soka nchini Brazil baada ya kumaliza mkataba wake na timu ya MLS side Montreal mwishoni wa desemba 2016

DROGBA akubali kulipwa Dola laki 1.5 kwa mwezi ili kusaini mkataba na klabu ya Corinthians DROGBA akubali kulipwa Dola laki 1.5 kwa mwezi ili kusaini mkataba na klabu ya Corinthians Reviewed by Unknown on Januari 13, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads