Header AD

KENDRICK, JEEZY, RIHANNA NA T.I WAMETOA MANENO YAO YA MWISHO KWA BARACK OBAMA


Barack Obama ameshamwachia majukumu Donald Trump kuiongoza Marekani, licha ya kupewa majukumu hayo bado hali sio nzuri kwa baadhi ya wananchi na wasanii wa taifa hilo.

Rapper Kendrick Lamar anaungana na wasanii kama JeezyT.I na Rihanna kutoa maneno yao ya mwisho juu ya Barack Obama ambaye alifanikiwa kuwaunganisha wamarekani pamoja kila kona ya dunia.
@potus We really gonna miss you champ. The good you've done & opportunity's you've given. Truly never know what we got til its gone. Thank u



KENDRICK, JEEZY, RIHANNA NA T.I WAMETOA MANENO YAO YA MWISHO KWA BARACK OBAMA KENDRICK, JEEZY, RIHANNA NA T.I WAMETOA MANENO YAO YA MWISHO KWA BARACK OBAMA Reviewed by Unknown on Januari 21, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads