Header AD

Picha: Namna Rais Trump na mkewe walivyosherehekea baada ya kuapishwa



 


















Rais mpya wa Marekani, Donald Trump aliungana na First Lady Melania Trump kwenye hafla ya kusherehekea kuapishwa kwake, Ijumaa hii.



Aliungana na wanajeshi wa nchi hiyo mjini Washington. Familia yake pamoja na Makamu wake, nayo ilikuwepo. Kwenye hotuba yake fupi kwenye hafla hiyo, Trump ameahidi mabadiliko makubwa kwenye sera za nchi yake. Tazama picha zaidi.



































Picha: Namna Rais Trump na mkewe walivyosherehekea baada ya kuapishwa Picha: Namna Rais Trump na mkewe walivyosherehekea baada ya kuapishwa Reviewed by Unknown on Januari 21, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads