Header AD

Kamanda Sirro aeleza hatma ya Wema Sepetu

Wema Sepetu bado anaendelea kushikiliwa na polisi jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za dawa za kulevya ambapo jana baadhi ya watuhumiwa wenzake walifikishwa mahakamani na kuachiwa kwa dhamana.

Leo February 8, 2017 Kamanda wa Polisi wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa jeshi lake bado linamshikilia Wema na wenzake saba ambao walikamatwa na vielelezo na kuwa jalada lao limepelekwa kwa wakili wa selikali alipitie ili aone ushahidi uliopo pamoja na kupata majibu kutoka kwa mkemia mkuu wa selikali kubaini kama kweli ni mtuamiji wa madawa ya kulevya.

Amesema upelelezi ukikamilika na wao watapelekwa Mahakamani.

Kamanda Sirro aeleza hatma ya Wema Sepetu  Kamanda Sirro aeleza hatma ya Wema Sepetu Reviewed by Unknown on Februari 09, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads