Header AD

NIKOHURUBLOG#Hawa ndiyo wamiliki wa mitandao ya kijamii mikubwa duniani

miongoni mwa vitu vinavyoweza kuibadili dunia ni mitandao ya kijamii haswa Faceebook Twitter, Instagram pamoja na Snapchat. Kila mmoja anaitumia vile awezavyo na hapa sasa tuone  watu wanaomiliki mitandao hiyo na utajiri wao .

mtandao Instagram ndio unatoa hela ndefu katika watu wengi kupata matangazo watu ambao waliokuwa na wafuasi wengi yaani ‘Followers’ wanapiga pesa sana japo mitandao mingine pia inapiga pesa .

1.KEVIN SYSTROM


Huyu ndiye mmiliki halali wa mtandao wa Instagram ambapo aliizindua Oktoba 6 mwaka 2010,  na moja ya sheria za mtandao huu hauruhusiwi kuufungua ukiwa chini ya miaka 17 hivyo kama unataka kufungua ukurasa huu lazima uwe na umri kuanzia miaka 18. Kevin ana utajiri wa wa dola za kimarekani 1.1 Bilioni.

2.MARK ZUCKERBERG


Wale watu wa mtandao wa Facebook ambao umetupa jeuri sana na ndio mtandao namba moja uliowateka wengi na bado unawateka wengi haswa kwa aina yake ya uungwaji wa picha na vitu mbalimbali  vinavyopatikana humo. Wakati inatoka tulifurahi sana mimi nimejiunga na mtandao huu mwaka 2009 sasa utaweza kujiuliza mtandao huu uliundwa mwaka gani ? Facebook imeanzishwa February 4 mwaka 2004 na huyu ndiye mwenye pesa ndefu sana miongoni mwa wamiliki wa mitandao hii ana utajiri wa dola za Marekani 55.3 Bilioni.

3.JACK DORSE


Huyu naye ndio mmiliki wa mtandao wa Twiter mkazi wa Marekani , huu unaaminika kuwa mtandao unaowakilisha watu wanaojielewa haswa wengi wanatumia mtandao huu ku-Tweet na kupashana habari mbalimbali jamaa anamiliki mtonyo wa Dola za Marekani 1.2 Bilioni hadi kufukia mwezi wa nane mwaka huu.

wapo na wanaomiliki mitandao mingine kama Imo Skypepamoja na Snapchat basi kaa nasi ili ujue mengi yanaendelea duniani. Ila kwa ufupi hii ndio mitandao inayofanya vizuri sana duniani

NIKOHURUBLOG#Hawa ndiyo wamiliki wa mitandao ya kijamii mikubwa duniani NIKOHURUBLOG#Hawa ndiyo wamiliki wa mitandao ya kijamii mikubwa duniani Reviewed by Unknown on Novemba 22, 2016 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads