Header AD

Haya ndiyo mataifa yanayopinga uwepo wa mungu

Wazungu wengi ambao ndio walisambaza dini huku Afrika kwa njia ya Umishenari wanaamini kwamba Dini ni jambo la kufikirika na kuogopesha tu ili kupunguza maovu duniani na kuwanyima watu kula bata huku wakiwakamua mapato yao kwa njia ya kinachoitwa zaka na sadaka….

Utafiti Unaonesha kwamba 63% ya watu duniani wanaamini uwepo wa Mungu, yafuatayo ni Mataifa yasiyoamini uwepo wa Mungu (Atheism).
1. Wachina Asilimia 75 hawana dini kutokana na kuaminishwa na Mao Zedong kuzama kwenye Ukomonist mwanzoni mwa miaka ya 70. Wachina wengi wanaamini katika ‘CONFUCIUS’ huku wakila chochote kilicho mbele yao, hata hivyo hali hii inasemekana kusababishwa na wingi wa watu nchini humo usioendana pengine Tanzania tunachagua kwa sababu bado tupo wachache na chakula kipo tele huku tayari Raisi wa Malwi akiamuru watu wale kula panya na panzi kwa kuwa wanapatikana kwa wingi nchini humo
2. Wajapani wengi hawajielewi na wengi wao wana dini zaidi ya moja yaani unaweza Ijumaa ukamkuta Msikitini, Jumamosi Usabatoni na Jumapili pia anazama kanisa lolote.
3. Vietnam Raia wengi wanaabudu babu zao, yaani siku akijisikia kuabudu anakwenda kwenye kaburi la Babu yake anakula gombo na kurudi nyumbani. ….Ilihali Wahindi wengi wakiabudu wanyama aghalabu Ng’ombe kama Mungu wao
4. Jamhuri ya Czech ……wao wanaamini zaidi kwenye Ukomunisti, ni asilimia 21 tu wanaoamini uwepo wa Mungu….Hii pia imechangiwa na makatazo ya watawala wa kikomunisti tangu enzi za akina Milosovic ingawa wengi wa walioulizwa ni kama walikua hawajielewi kama wana dini ama la
5) Sweden na  Denmark. asilimi 17 tu ndio wanaamini kwamba Mungu Yupo na hii inawarahishia kutoishi bila hofu na kutenda dhambi yoyote waitakayo……….Waswidi na Wadenish wengi wamegeuza baa kuwa ndio ‘makanisa yao’
6. United Kingdom (40% wenye dini) na Ufaransa (41%) na kwingineko kwenye nchi nyingi tu za ulaya magharibi na mashariki…Wanawake na Wazee tu ndio husali huku vijana wengi wakiendelea kula bata na kugeukia ushoga na usagaji ……Kuna marafiki zangu ni wafaransa hakika hawajui kitu chochote kinachohusiana na Mungu, si biblia wala Quran huwa hawaabudu kitu chochote
7. Hongkong pia ni moja ya nchi yenye wapagani wengi duniani (52%)……………nyingine zikiwa ni Norway (39%), Austria
Haya ndiyo mataifa yanayopinga uwepo wa mungu Haya ndiyo mataifa yanayopinga uwepo wa mungu Reviewed by Unknown on Desemba 15, 2016 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads