Header AD

Vikosi vya Iraq vyakaribia kuudhibiti mji wa Mosul



Vikosi vya uokoaji vikisaidia wahanga
Image captionVikosi vya uokoaji vikisaidia wahanga
Vikosi vya Iraq sasa vimebaki kilomita moja tu kudhibiti mji wa Mosul, mji wa mwisho kwa ukubwa nchini humo bado unadhibitiwa na wapiganaji wa Islamic State.

Vikosi maalum vinaelekea katika mji wa Mosul kutoka Mashariki walifanya mashambulizi kabla ya alfajiri.
Maeneo yaliyozingirwa na vikosi vya Iraq
Image captionMaeneo yaliyozingirwa na vikosi vya Iraq
Mwandishi wa BBC anayesafiri na safu ya kivita alisema wamekuwa wakilengwa mara kwa mara na wapiganaji wa kundi la IS waliokuwa wakiendesha magari yaliotegeshwa mabomu.
Lakini bado mafanikio ni makubwa na vikosi vya serikali vimesonga mbele hadi kijiji cha Bazwaya, nje kidogo ya mji wa Mosul.
Vikosi vya Iraq vyakaribia kuudhibiti mji wa Mosul Vikosi vya Iraq vyakaribia kuudhibiti mji wa Mosul Reviewed by Unknown on Novemba 01, 2016 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads