Header AD

FIFA YAKUBALI USHIRIKI WA TIMU 48 KATIKA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA


Wajumbe wa shirikisho la mpira wa miguu duniani(FIFA) limepitisha ama kukubali ushiriki wa timu 48 katika fainali za kombe la dunia. Utaratibu huu wa timu 48 utaanza rasmi
mnamo mwaka 2026!!
Kupitia akaunti yake ya Twitter, FIFA iliwapasha wapenda kandanda duniani kuhusu maamuzi hayo. Kukubaliwa kwa hoja hii ya timu 48 katika fainali za kombe la dunia itakuwa ni sifa kubwa kwa rais wa FIFA  Gianni Infantino ambaye ndiye alipendekeza wazo hilo mwaka jana.

RAIS WA FIFA  Gianni Infantino

FIFA YAKUBALI USHIRIKI WA TIMU 48 KATIKA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA FIFA YAKUBALI USHIRIKI WA TIMU 48 KATIKA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA Reviewed by Unknown on Januari 10, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads