Header AD

NIKOHURU BLOG# Waziri Aaagiza Bungeni Shoga Maarufu Mitandaoni Akamatwe


Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Hamisi Kigwangalla, akijibu hoja za wabunge ameviagiza vyombo vya usalama kumtafuta mtu anayejulikana kwenye mitandao ya kijamii kama "James Delicious"
kwa kujitangaza kama shoga kinyume cha sheria na kumfikisha mbele ya sheria kujibu tuhuma za kuendesha biashara ya kuuza ngono ya kinyume cha maumbile.

NIKOHURU BLOG# Waziri Aaagiza Bungeni Shoga Maarufu Mitandaoni Akamatwe NIKOHURU BLOG# Waziri Aaagiza Bungeni Shoga Maarufu Mitandaoni Akamatwe Reviewed by Unknown on Februari 07, 2017 Rating: 5

Hakuna maoni

Post AD

Propellerads